BODI YASISITIZA UADILIFU NA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA MFUKO
Bodi ya Wakurugenzi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), ikiongozwa na Mwenyekiti Bw. Eliudi Sanga, imefanya ziara ya kikazi mkoani Iringa kwa lengo la kutembelea ofisi za Mfuko na kuzungumza na watumishi.
Wakiwa mkoani humo, walikutana na kaimu Katibu Tawala wa Mkoa Bw. Elius Luvanda, ambapo walijadili kwa kina na...