MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) WAPOKEA TUZO KUTOKA KWA CHAMA CHA WAANDISHI WA HABAR WA MKOA WA DAR ES SALAAM
Leo tarehe 21.06.2025 Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umepokea Tuzo Maalum kutoka kwa Chama Cha Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Dar es Salaam (DPC), Tuzo hiyo imejielekeza kuipongeza Taasisi ya NHIF kwa Kazi kubwa ambayo inafanya katika kuhudumia Watanzania na Ushirikiano Mkubwa ambao unaendelea kuutoa kwa Waandishi wa Habari waka...