Imewekwa: 15 January, 2025

Utekelezaji wa Bima ya afya kwa wote umeanza kwa makundi maalum ya wazee, wajawazito, watoto, watu wenye mahitaji maalum na watu wasio kuwa na uwezo (TASAF).

Usajili ya kifurushi cha Jamii kwa gharama ya shilingi 150,000/= kwa Kaya ya watu 6.