Mkuu wa Mkoa wa Tanga Apongeza Mapinduzi kwenye Huduma za NHIF*
Mkuu wa mkoa wa Tanga Dkt.Balozi Batilda Salha Buriani amepongeza maboresho mbalimbali ya kihuduma yanayofanywa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kwa wanachama wake ikiwemo maboresho ya ulipaji wa madai kwa watoa huduma ambapo sasa yanalipwa kwa wakati na kupunguza malalamiko.
Ameyasema hayo katika mkutano wa Mab...