Friday Jan 27

Daily Poll

Our services improving?





Results

Visitors

mod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_countermod_vvisit_counter
mod_vvisit_counterToday290
mod_vvisit_counterThis week1599
mod_vvisit_counterThis month4727

NHIF MSHINDI WA JUMLA KWA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII AFRIKA

Friday, 16 December 2011 13:33

Mkurugenzi Mkuu wa NHIF, Emanuel Humba (anayeongea) ikiwa pamoja na maafisa wengine waandamizi wa NHIF akiongea na waandishi wa habari kuhusu tuzo ambazo NHIF imetunukiwa baada ya kuibuka mshindi wa jumla kwa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii barani Afrika. Tuzo hizo zilitolewa na Taasisi ya Kimataifa ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (ISSA) katika mkutano iliyofanyika Mjini Arusha kati ya tarehe 5-6 Desemba 2011 ambapo Raisi wa ISSA Bw. Errol Frank Stoove alikabidhi tuzo hizo.

UZINDUZI WA KAMPENI YA ELIMU YA WAZI YA VIELELEZO

Tuesday, 01 November 2011 15:09

Mfuko wa Taifa wa Bima ya NHIF hivi karibuni umezindua Kampeni ya Elimu ya Wazi ya Vielelezo kwa Umma. Kampeni hiyo iliyozinduliwa mjini Bagamoyo inalenga kuwapelekea elimu wananchi kuhusu shughuli za Mfukowa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) kwa kutumia gari la matangazo na sinema.

Read More >>

WANAOSAINISHA WANACHAMA NHIF KABLA YA HUDUMA KUKIONA

Monday, 14 March 2011 14:24

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) kanda ya Moshi, umewaonya Watoa huduma wanaowalazimisha wanachama wake kuweka saini katika fomu za matibabu kuwa wamewatibu wakati hawajafanya hivyo na kuahidi kuchukua hatua kali za kisheria dhidi yao.

Read More >>

More News

New Shows

blank
Duka la dawa
Mtibwa limesajiliwa na Mfuko kutoa huduma.More
blank
Mkutano na TALGWU.
Wadau mbalimbali wa TALGWU wakiwa katika mkutano wa pamoja na NHIF
blank
Huduma ya dawa.
Tiba sahihi hutokana na vipimo sahihi.More

Benefit packages

blank
Benefit packages offered by NHIF to its beneficiaries

Picture of the day

ad ad