NHIF
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akitoa hotuba yake katika hafla ya uzinduzi wa Ofisi mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya iliyopo mjini Kibaha
NHIF
Mkurugenzi wa NHIF, Emanuel Humba akitoa maelezo ya utangulizi ya Mfuko kwa wageni walioalikwa katika hafla hiyo
NHIF
Mkurugenzi wa Shirika la Elimu Kibaha, Dk. Mpemba akitoa shukrani kwa Mfuko kwa ushirikiano wake katika uboreshaji wa huduma za matibabu katika hospitali ya Tumbi
NHIF
Baadhi ya Wakurugenzi wa Mfuko na wageni waalikwa wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa
NHIF
Wakibadilishana mawazo ya uboreshaji wa huduma za matibabu mkoani Pwani
NHIF
Baadhi ya Wakurugenzi wa NHIF wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa ofisi mpya ya Kibaha
NHIF
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii akizungumza na wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya alipofanya ziara makao makuu ya Mfuko huo leo.
NHIF
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Ally Kiwenge akitoa salaam za Bodi kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii.
NHIF
Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (walioko mbele) wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Waziri wakati akizungumza na wafanyakazi.
NHIF
Wafanyakazi wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii.
Joomla gallery by joomlashine.com
NHIF
1i.jpg
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza akitoa hotuba yake katika hafla ya uzinduzi wa Ofisi mpya ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya iliyopo mjini Kibaha
2i.jpg
Mkurugenzi wa NHIF, Emanuel Humba akitoa maelezo ya utangulizi ya Mfuko kwa wageni walioalikwa katika hafla hiyo
3i.jpg
Mkurugenzi wa Shirika la Elimu Kibaha, Dk. Mpemba akitoa shukrani kwa Mfuko kwa ushirikiano wake katika uboreshaji wa huduma za matibabu katika hospitali ya Tumbi
4i.jpg
Baadhi ya Wakurugenzi wa Mfuko na wageni waalikwa wakifuatilia hotuba ya Mkuu wa Mkoa
5i.jpg
Wakibadilishana mawazo ya uboreshaji wa huduma za matibabu mkoani Pwani
6i.jpg
Baadhi ya Wakurugenzi wa NHIF wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kwa hafla ya uzinduzi wa ofisi mpya ya Kibaha
ziara ya waziri
Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii akizungumza na wafanyakazi wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya alipofanya ziara makao makuu ya Mfuko huo leo.
ziara ya waziri
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, Ally Kiwenge akitoa salaam za Bodi kwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii.
ziara ya waziri
Baadhi ya Wajumbe wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (walioko mbele) wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Waziri wakati akizungumza na wafanyakazi.
ziara ya waziri
Wafanyakazi wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii.

Farewell Bid
Working with you was fun. For us who are younger, you have helped us grow as persons and made us realize our worth. We will never be able to forget you but we are happy that you will finally get a lot of time to spend with your family and enjoy life...
Mwanachama atanufaika na huduma zote za afya ya msingi za kinga na tiba zitolewazo katika zahanati, kituo cha afya na hospitali ya wilaya kama vile:
Collaborations between the National Health Insurance Fund (NHIF) and Community Health Fund (CHF)
Actuarial and Statistical Bulletin as of 30th June 2010 is now available for download.
© Copyright 2012 , All Rights Reserved | The Director General, National Health Insurance Fund, P.O. Box 11360, Dar es Salaam, Tanzania, Tel:+255 22 2133969/2133964, Customer Care:+255 22 2133958, email: This email address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it.