Maktaba ya Picha



  • 4

    Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa amezindua rasmi mpango wa Ushirika Afya ambao utatoa huduma za matibabu kwa wakulima walioko kwenye vyama vya Ushirika kupitia Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya. Mpango huu unaanza rasmi kwa wakulima wote nchini.

    Imewekwa : July, 16, 2018

  • 4

    Menejimenti ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya na Hospitali ya Rufaa jijini Dodoma zimekubaliana kwa pamoja kuimarisha mahusiano kwa lengo la kuimarisha huduma bora kwa wanachama wake.

    Imewekwa : June, 22, 2018

  • 4

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari wakati wa utoaji wa kadi za bima ya Afya (Toto Afya Kadi) kwa watoto wanaoishi kwenye mazingiria magumu katika vituo vya kulelea watoto yatima jijini Dar es salaam.

    Imewekwa : June, 13, 2018

  • 2

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Akson ameupongeza Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya kwa jitihada za kuwafikia wananchi na kuwahamasisha kujiunga na huduma za Mfuko katika maeneo mbalimbali. Aliyasema hayo katika tukio la Mbeya Tulia Marathon 2018

    Imewekwa : May, 07, 2018

  • 11

    SIMU YA WAFANYAKAZI DUNIANI

    Imewekwa : May, 07, 2018