Maktaba ya Picha



  • 4

    Maofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya  (NHIF), wakiendelea na zoezi la usajili wa watoto kwenye bima ya afya ambao wanalipiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Paul Makonda.  Mpango wa TOTO AFYA KADI unamnufaisha mtoto chini ya umri wa miaka 18.

    Imewekwa : April, 14, 2018

  • 2

    NHIF yasheherekea Pasaka kwa kuwahudumia Wanageita

    Imewekwa : April, 04, 2018

  • 4

    Geita. Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umeendelea na mkakati wake wa kuwafikia wananchi katika maeneo yao kwa kuwapelekea huduma zake lakini pia upimaji wa afya bure kwa lengo la kupambana na magonjwa yasiyoambukiza.

    Imewekwa : March, 30, 2018

  • 1

    Mkuu wa Mkoa wa Geita Injinia Robert Gabriel (katikati) akiwa na Maofisa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya.

    Imewekwa : January, 30, 2018